99久久国产综合色|国产精品,日韩AV一级特黄无码人妻,91在线视频无码,国产网站久章草在线视频

Watu 39 wauawa katika maandamano ya kupinga muswada wa nyongeza ya kodi nchini Kenya

(CRI Online) Julai 03, 2024

Watu 39 wameuawa na wengine 361 kujeruhiwa katika maandamano ya hivi karibuni ya kupinga nyongeza ya kodi yaliyofanyika nchini Kenya, wakati vijana nchini humo walipoendelea kuingia mtaani jana Jumanne katika raundi mpya ya maandamano hayo.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu (KNHCR) Roseline Odede amesema katika taarifa yake iliyotolewa Jumatatu jioni mjini Nairobi kuwa, takwimu hizo zinajumuisha kipindi cha kuanzia Juni 18 hadi Julai Mosi, na zinaonyesha kuwa jiji la Nairobi linaongoza kwa idadi ya vifo.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha